Afisa uhusiano wa EFM Lydia Moyo (kushoto) akimkabidhi mshindi wa shika ndinga funguo za gari.Mshindi
wa shika ndinga Gabriel (kulia) akikabidhiwa hati yake ya umiliki wa
gari aliyojishindia, pembeni ni Lydia moyo afisa uhusiano wa EFM.
Mshindi wa shindano la shika ndinga akiondoka na gari yake pembeni ni mke wake na mtoto wake. Mshindi wa shika ndinga Gabriel akiwa na mtoto wake wakifurahia kushinda ndinga, pembeni ni afisa uhusiano wa EFM Lydia moyo
No comments:
Post a Comment