HAYA NDIO MAMBO AMBAYO MWANAMKE ANAHITAJI KUTOKA KWA MWANAUME, JE WAYAFAHAMU

Wapo wanaume hugongwa na magari hivihivi!(Picha kwa hisani ya Buzzle)
Ni mara nyingi sana tunasikia wanaume wakisema
“mke wangu wala huwa simuelewi”
Ni kweli wanaume tunahitaji kujua baadhi ya vitu kuhusu wanawake ili tuweze kuwafahamu zaidi.
Je ni mambo gani wanawake huhitaji kutoka kwa mwanaume?

Wanawake huhitaji mwanaume anayesikiliza zaidi kuliko kutoa jibu tu.Wanaume ni watu wa kutia majibu (problem solvers).
Pia wanaume hujitahidi kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwa kila mmoja bila kusahau masuala ya mahusiano hata hivyo kuna wakati na muda wa kutoa suluhisho na pia kuna wakati ambao mwanaume anatakiwa kusikiliza tu kwa mwanamke.
Kama mke moja kwa moja amekuomba usaidie kutoa sukluhish la jambo Fulani hapo haina tatizo moja kwa moja toa jibu an fanyia kwazi.
Ila kama mke anakueleza kitu ambacho amekutana nacho iwe kazini au akiwa na watoto usitoe suluhisho kabla ya kumsikiliza kwanza.
Wanawake wanahitaji kubwa la kutaka kusikilizwa na hii ndiyo tofauti kati ya mwanaume na mwanamke, wanaume hutumia ubongo tu hata bila kuongea kuhakikisha anapata tatizo la issue zake wakati mwanamke hulazimika kuzungumza na kusikilizwa ili kupata jibu la issue yake.
Kama mwanaume hutumii muda ku-discuss mambo na mke wako hiyo siyo nzuri ndiyo maana anaweza kutumia muda wake kuongea na rafiki zake kwenye simu kwa sababu hujafanikisha hitaji lake la kusikilizwa.
Mwanaume unapoongea na mwanamke hakikisha:-
Unapoongea naye kwanza unamwangalia usoni (eye contact) ili ajue unamsikiliza
Anapomaliza kuongea hakikisha unaonesha ulikuwa unamsikiliza hasa kwa kurudia yale ameongea kwa mfano unaweza kusema, “kwa hiyo ulikuwa unaniambia ………”
Then muulize yeye alikuwa anafikiriaje kupata jibu la hiyo issue yake kabla wewe kutoa jibu.
Kufanya hivyo kutaonesha unajali sana hisia zake hasa suala zima la kusikilizwa na pia itamsaidia yeye mwenyewe kuangalia ni jinsi gani anaweza kuhusika kupata jawabu la issue aliyokuwa anakueleza.
Wataalamu wanasema mwanamke kawaida huongea maneno 45,000 kwa siku na mwanaume maneno 15,000 kwa siku hivyo ukiwa unamkatisha kuongea na kudakia kwa kutoa jibu bila kumsikiliza kisaokolojia una muumiza na itabidi atafuta mtu mwingine wa kuongea naye.

Wanawake wanahitaji mwanaume anayemuhitajiWanawake wanapenda kuona wanahitajiwa na mwanaume.
Siyo tu wanapenda kujisikia wapo sexy au beautiful pia wanapenda kufahamu kwamba mwanaume ambaye anatumia muda wake mwingi pamoja anavutiwa naye kila siku.
Hapa ni suala ka mwanaume kuwa na busara kuhakikisha unamtia moyo kwani kutokana na jinsi wanwake walivyo pamoja na majukumu yao wengi wakishazaa watoto miili yao inabadilika maumbo hata wao hujisikia wapo tofauti na kupoteza ujasiri, hivyo mwanaume unahitaji kumtia moyo hata kwa kumwambia kwa sasa nakuona wamo kuliko zamani.
Na kumwambia anavutia hivyo atajitahidi zaidi kujiweka kwenye form na kuwa sexy siku zote
Kama unaweza wakati anaandaa dinner unaweza kumbusu shingo yake na kumsifia jinsi ngozi yake ilivyo nyororo, na ukamnong’oneza maneno matamu jinsi alivyo mrembo hiyo itamjengea kitu kipya kwenye mind na moyo wake hivyo atakuamini na kujiskia vizuri zaidi.
Hata wakati mkiwa faragha jitahidi kwenda na mahaba kama vile zile ziku za kwanza mlipokuwa ndo mnaoana unaweza kumueleza
jinsi ngozi yake ilivyo nzuri,
hips zake zilivyo bomba,
miguu yake ilivyo ya uhakika,
shingo yake ilivyo kiboko,
na hapo chini palivyo patamu,
fahamu kwamba maongezi yako yanajaza kitu muhimu sana kwenye kichwa chake na atajisihia unamuhitaji na unampa usalama zaidi.

Mwanamke anahitaji mwanaume ambaye si rafiki wa watoto tu bali ni mtu anayelinda nidhamu ya watoto.Likija suala la kuwapa nidhamu watoto wanaume wengi hujiweka pembeni na kuwaachia wanawake peke yao, wanawake hujisikia vizuri pale mwanaume anaposhirikiana na mke wake katika kuwalea watoto kuwa na nidhamu nzuri hasa pale wanapokosea.
Huwa inaumiza sana wanawake pale anapomwambia mtoto asifanye kitu fulani au anampowakataza kabisa kufanya kitu, then wakienda kwa baba yeye anawakubalia na kuwambia fanyeni.
Mwanaume huonekana kama yeye ndiye mzazi rahisi sana kwa watoto na hivyo kutengeneza mazingira ya mama kuonekana mnoko.
Hiyo huweka hasira kwa mwanamke na pia mwanaume unakuwa unarutubisha bomu ambalo siku yoyote linaweza kukulipukia wewe mwenyewe, pia kuna kitu unakijenga ndani ya mke ambacho hafurahii.

Wanawake wanahitaji mwanaume anayewaamini hata kama ana wivu. Mara nyingi mwanaume unapoondoka nyumbani unaweza kuuliza
“unaenda wapi?
“na utarudi saa ngapi?”
Haya ni maswali mwanamke akikuuliza anapenda umpe jibu bila tatizo kwani anataka kujua wewe mpenzi wake unaenda wapi na utarudi saa ngapi, kuna wanaume hapo huwa inakuwa ugomvi kisa unaulizwa unaenda wapi na utarudi saa ngapi.
Moja ya msingi wa mahusiano yoyote ni kuaminiana (trust)
Pia mke wako anaweza kupita sehemu na wanaume wakamsifia kwa jinsi alivyo mrembo, sasa kwa mwanaume isiwe hasira na kuanzisha zogo eti kisa wanaume wengine wamemwambia mke wako anapendeza.
Wanawake wanajisikia vizuri kuambiwa wanapendeza hata na wanaume na wanajisikia kweli mimi wamo kama hata fulani amenisifia nimependeza.
Mimi nakubaliana na najisikia vizuri kama hata wanaume wenzangu watamsifia mke wangu kwamba anavutia na nitamwambia kabisa kwamba fulani kasema unavutia sana naamini nitakuwa nimemtia moyo zaidi na atajisikia vizuri zaidi na pia atazidi kujiamini zaidi.

Wanawake wanahitaji mwanaume anayewapa uhuru.Wanawake wanapenda sana kuwa huru na hii inafanya baadhi ya wanaume wasijisikie vizuri.
Kutokana na mabadiliko ya maisha ya ,wanawake wanafanya kila ambacho kipo kwenye akili zao kwa ajili ya kuendeleza na kuimarisha familia,
wanafanya kazi,
wanafanya business,
wanasafiri na
pia wanafanya miradi yenye lengo la kuimarisha uwezo wa familia kiuchumi.
Wapo wanaume huona haiwezekana mwanamke kufanya kazi za ofisini eti atakuwa huru mno kiasi kwambaatachukuliwa na wanaume wengine.
Hayo ni mawazo ya kizamani na hayana nafasi kwa karne ya leo.
Unamzuia mke hata kwenda shule eti atachukuliwa na wanaume wengine.
Mimi naamini ni vizuri kumtia moyo kwanza awe anajiamini na kwamba anaweza kufanya jambo lolote akitaka kwani uwezo anao.
Asipotiwa moyo na mume ni nani ataweza kumtia moyo ili ajiamini na kufanya mambo makubwa kwa ajili ya familia.
Maisha ya sasa hivi yanahitaji wana ndoa ambao wanachakarika kwelikweli hivyo ni suala la kumpa mke wako uhuru ili muweze kusaidiana kuendeleza familia na maisha kwa ujumla.

Wanawake wanahitaji mwanaume anayetambua mambo muhimu madogo anayofanya.Usione nguo zako zimenyoshwa vizuri, watoto wanasafishwa na vizuri, nguo zinafuliwa na kunukia vizuri au chakula kinapikwa vizuri, hapo mwanamke amefanya kazi kubwa na anapenda sana umpe credit kwa kazi kama hizo na kama siku ukipata nafasi unaweza kumsaidia na mkafanya pamoja hiyo inatia moyo sana.
Kuliko wewe ni kuvaa tu au kula tu na kuona ni wajibu wake, ni kweli ni wajibu wake lakini hizo kazi si mchezo zinachukua muda na nguvu.
Kama mwanaume huwa husaidii kazi za nyumbani ni vizuri ukaanza sasa, huna excuse kama unataka kuwa na mwanamke ambaye anataka kujisikia ana mume anayemjali.
Hivi vitu vidogovidogo vinawafanya wanawake wajisikia raha sana mkifanya pamoja.
Pia unakuwa umempunguzia muda wake wa kufanya hiyo kazi moja na kumpa muda wa ziada hata wa kuwa na wewe mwenyewe pia.
Wapo wanaume hulaumu tu mke wangu kila wakati yeye na kazi mchana na usiku na hata akiingia chumbani anakuwa amechoka, kumbe wewe mwenywe husaidii kazi ili mke apumzike.
Mwanamke huhitaji mwanaume anayefanya vitu anavyovipenda Kama anaenda shopping unaweza kwenda naye na mkawa na muda mzuri pamoja huko kwenye shopping, kama anapenda kwenda kwenye matamasha ya miziki na michezo unaweza kwenda naye pia mkawa na muda mzuri, kama anapenda kuhudhuria semina za ndoa au neno la Mungu nenda naye pamoja.
Hii ni kuonesha kwamba na wewe wamo katika yale anapenda hiyo itaonesha kwamba unamjali sana na ina maana kubwa sana kwake.
Siyo mwaka unaisha hujaenda na mke mahali yeye anapenda then unasema ninamjali sana mke wangu.

Mwanamke anahitaji mwenzi siyo Baba.Huwa inasikitisha sana kwamba mwanamke hawezi kufanya kitu chochote hata kile ambacho kipo logical mpaka apate ruhusa kwa mume.
Hiyo siyo ndoa bali ni uhusianoa wa mtoto na mzazi.
Kuna mambo ya msingi kama yale yanayohusu pesa hayo ni kweli yanahitaji kuwasiliana kwanza ndo mtu ufanye mfanye.
Lakini hata kama anataka kwenda kula lunch na rafiki zake wa kike lazima aombe ruhusa kwa mume hiyo kali.
Mwanaume pia inabidi ujiulize je, wewe huwa unamuomba ruhusa mambo yote unayofanya?
Ka sivyo kwa nini yeye akuombe ruhusa kila kitu?

Mwanamke anahitaji mwanaume ambaye hamlinganishi na mama yake.Utakuta mwanaume analalamika kwamba mama yake ndiye
aliyekuwa anapika chakula kizuri,
au mama yangu alikuwa anafua nguo kwa sabuni fulani nzuri zaidi
au mama yake alikuwa anafanya hiki na kile.
Fahamu kwamba mke ni mtu tofauti sana na mama yako aliyekuzaa.
Ni kweli watu huwa tunakuwa na kumbukumbu nzuri sana za mambo mazuri ambayo mama zetu walikuwa wanatufanyia ila kama umeoa na unataka kila kitu kama mama yako ni vizuri ukahama na kwenda kwa mama yako mapema.
Wanawake ni watu ambao siku zote hujitahidi sana kuhakikisha mambo yanaenda na kama mwanaume hujaridhika na jinsi anavyopika, au anavyofua nguo au kulea watoto ni vizuri ukamsaidia kufanya vile unataka kuliko kumsema kwa kulinganisha jinsi mama yako alivyokuwa anafanya.
Hapo una mambo ya mawili ya kufanya
kwanza kumsaidia
au pili fanya mwenyewe.

Mwanamke anahitaji mwanaume hot kwenye sex piaWanawake pia wanahitaji tendo la ndoa linalowaridhisha na kuwafikisha pale wanahitaji. Anahitaji mwanaume anaye mtimizia ndoto zake za mahaba, anafurahia na kujisikia raha jinsi Mume anavyompa mgusu wa kimwili wenye msisimko wa raha,
Anajisikia vizuri kupata busu tamu,
Anajisikia vizuri kukumbatiwa
Anapenda kusikia maneno matamu ya kimapenzi kwenye masikio yake
pia wanapenda kusikia na kuona mambo mapya kitandani siyo mazoezi ya kila mwaka mambo yaleyale, anajisikia vizuri kuwa na mwanaume mbunifu na dereva mzuri.
Hahitaji mwanaume anayempeleka kitandani na baada ya dakika mbili amemaliza.
Hapo unaweza kumpotezea hamu ya tendo la ndoa ambayo ni zawadi kuu Mungu ametupa viumbe wake.
Mwanamke anahitaji mwanaume anayejua kumuandaa kabla ya tendo lenyewe na pia anahitaji mume anayejua kumaliza kwa mtindo ambao anaridhika.
Mwanaume unahitaji kuhakikisha tendo la ndoa linakidhi kiu yake, anaridhika na linakuwa na maana kwako na kwake na kila siku hamu inazidi kukua zaidi.

Jifunze Maandalizi ya Tendo la Ndoa Uwapo na Umpendaye

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8FfSeVuLVtK7MtMKL1fvE2mjouddc2kKTTLJ8UHgFx-TwFaq3p0g8cw01xuGpMJpchj0li5nD9tmnue6NR1sEDcrcyfWzp4d59mMwDeLBzC2jqzuytSL53Ar3fjwPNu_rTNFiFSml4Gg/s640/wapenzi.jpg 
Kabla ya hili tunda kuliwa kuna umuhimu wa kuhakikisha linaandaliwa kwa uhakika na wewe unayetaka kulila ili uweze kulifaidi vizuri, si suala na kukurupuka na kulivamia bila maandalizi mazuri na ya kutosha. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanaume na mwanamke linapokuja suala la tendo la ndoa au kufanya mapenzi au sex.
Je, maandalizi ya tendo la ndoa (foreplay) ni nini?Ni kitu kinachofanyika kati ya wakati mmetoa nguo zote na kabla ya mwanaume kuingiza uume kwenye uke.
Ni kubusiana, kugusana, na kuchezeana hadi mnakuwa mmesisimka vya kutosha kwa ajili ya tendo la ndoa.
Ni kuuungana kihisia, kiroho na kimwili kwa muda wa kutosha kabla ya tendo la ndoa
Ni msingi na kitu muhimu kwa ajili ya kuhakikisha unapata tendo la ndoa lenye kuridhisha.
Ni sanaa ya kuelezea upendo na kukaribishana kwa ajili ya tendo la ndoa.
Ni muhimu kwa ajili ya kumwandaa mwanamke kwa ajili ya tendo la ndoa.
Ni kumhusisha partner wako vizuri zaidi kupata hisia za upendo na ukaribu kimahaba yeye kujiona mtu maalumu kwako
Ni aina ya meditation (kutafakari) ambapo hukusahaulisha na mambo ya dunia (ulimwengu wa nje) na kuondoa strees na kukuwezesha ku-focus kwenye mapenzi moja kwa moja (connection)na yule umpendaye.
Pia kusoma maandishi yanayosisimua, kuangalia video na picha zinazosisimua na maongezi yanayoosisimua kimapenzi ni foreplay pia.
Je, tofauti ya kuwahi kusisimka kwa mwanaume inaweza kuleta tatizo?Wanaume wana mzunguko mfupi sana kuamshwa kimapenzi (arousal), wakati wanawake wanamzunguko mrefu sana katika kuamshwa kimapenzi.
Ingawa pia uwezo wa kusisimka na kuamshwa kimapenzi unategemaa sana mambo yafuatayo:-
Umri - unavyozidi kuzeeka homoni hupungua hivyo kutumia muda zaidi.
Afya - kama unaumwa na dhaifu unahitaji muda zaidi.
Uzoefu na malezi - kama umelelewa na kuelezwa kama sex ni mbaya kazi ipo
Kuna matatizo mengi hujitokeza hasa kutokana na tofauti kubwa ya mzunguko wa kusisimuana na kuamshwa kimapenzi kati ya mwanaume na mwanamke na hii hupelekea hata baadhi ya wanandoa kujisikia vibaya na kutokupenda kabisa tendo la ndoa.
Kwa kuwa wanaume ndiyo husisimka haraka na kumaliza tendo la ndoa mapema kuliko wanawake ambao wakati mwingine kwanza ndo wanakuwa waanaanza kusisimka na kupata raha ya tendo.
Suala la msingi ili kuondoa matatizo ni wahusika kuwa na elimu au sayansi ya mwili na tendo la ndoa linavyokuwa.
Kama wote ni vilaza (mbumbumbu) na hawajui sayansi ya miili yao basi, mwanaume anaweza kudhani kwamba mwanamke anashindwa kuitikia msisimko anaompa, wakati huohuo mwanamke naye anaweza kudhani ana matatizo kwa kushindwa kusisimka haraka sawa na mwanaume anavyosisimka hivyo kukata tamaa na kujiona wote wana kasoro kumbe ni mzima na tatizo ni ufahamu wa miili yao wenyewe.
Hii tofauti ya kusisimka kimapenzi wakati wa tendo la ndoa wakati mwingine hupelekea kuathiri kabisa maisha ya mahaba kwenye ndoa hadi pale wote watakapofahamu vizuri mwitikio wa miili yao linapokuja suala la sex.

Je, unamchukua mwanaume dakika ngapi kufika kileleni?Kawaida mwanaume inamchukua dakika 3 tu kuweza kufika kileleni tangu asisimke kimapenzi, wakati mwanamke humchukua zaidi ya dakika 15 kufika kileleni tangu asisimke, hii ina maana kwamba bila maandalizi mazuri ya kusisimuana mwanaume huweza kufika kileleni hata kabla mwanamke hajaanza kusisimka na muda ambao mwanamke alitakiwa kufika kileleni mwanaume anakuwa tayari alishamaliza kazi zamani.
Utafiti unaonesha ni asilimia 20 au 30 tu ya wanawake hufika kileleni na tatizo kubwa ni kutokuandaliwa vizuri na wapenzi wao (wanaume) na maandalizi mazuri ndiyo siri pekee ya mwanamke kufika kileleni na hatimaye kufaidi utamu wa tendo la ndoa.
Mahusiano mazuri maana yake ni wawili ambao wanatimiziana mahitaji muhimu na hitaji muhimu katika ndoa ni pamoja na tendo la ndoa.
Suala la tendo la ndoa lina umuhimu sawa na maeneo mengine katika ndoa kama kazi, chakula nk.
Ni muhimu kuwa na maarifa kuhusu mwili na tendo la ndoa kwani waingereza wanasema
Knowledge is Power
Je, ni makosa gani (deadly) ambayo wanaume hufanya katika kumuandaa mwanamke?
(i) Kuwa na haraka
Wanaume wengi huwa na haraka ya tendo la ndoa bila kuzingatia umuhimu wa kumuandaa muhusika kwanza.
Wanawake hutumia muda mrefu ili kusisimka ndiyo maana unahitaji kutumia muda bila kuwa na haraka ili uweze kumsisimua na zaidi kuwa na sex nzuri na yenye kuridhishana.
Ni vizuri kutumia muda wa kutosha kumuaandaa na kama unaweza hata kumfikisha kileleni hata kabla ya kumwingilia.

(ii) Kukosa kujua sehemu muhimu za kuchezeaZaidi ya matiti, shingo na midomo (lips) na kisimi wanaume wengi hawajui ni sehemu zingine zipi ambazo wanawake huwasisimua zaidi.
Kuna sehemu zingine ambazo mwanamke akuguswa anaweza kusisimka haraka zaidi.
Tumbo, matako, mapaja, nyuma ya shingo, mabega, mgongo, sehemu iliyopo kati ya uke na nyuma
(kutumia mtandao wa Vodacom au tigo ni dhambi kubwa kabisa tena ukome kama una hayo mawazo, mwenye hekima na afahamu naongea nini)
Hizi sehemu ni muhimu sana kwake kuguswa wakati wa kumuandaa.
Pia lazima uwe mtundu kuweza kusoma lugha yake na jinsi nini anakifurahia na nini hafurahii wakati wa maandalizi.

(iii) Kuwa bubu bila kuongea maneno matamu na kumsifiaWakati wa tendo zima la kufanya mapenzi wanawake wanategema mwanaume awe anaongea si kuwa bubu na kuongea huanzia kwenye maandalizi na kama wewe ni fundi wa kuongea basi hutachukua muda mrefu kuhakikisha moto umewaka.
Kuna maneno matamu, kwenye mapenzi maneno matamu yapo ya aina mbili, kwanza ni dirty words (mfano uke kwa jina jingine unaitaje vile au uume kwa jina jingine unaitaje vile) na pili maneno ya kumsifia juhudi yake au alivyo na umbo zuri. Dirty words husaidia kumsisimua na kupa nyege zaidi na maneno ya sifa husababisha atoe juice zaidi.

(iv) Kubusu kwa kinyaa au bila UstaarabuWakati unambusu usiache mimate kila mahali uwe mstaarabu pia usioneshe kwamba una kinyaa katika kubusu baadhi ya sehemu ambazo yeye anapenda umbusu, huyo ni mke wako na yeye wewe ni mwili mmoja, yeye ni wewe na wewe ni yeye, hivyo unaruhusiwa kubusu sehemu yoyote ndiyo maana usafi ni jambo la kwanza kabisa katika mapenzi.
Kumbuka kuna msema ambao husema
CLEANNESS IS SECOND TO GODLINESS

Haya Ndio Mambo Muhimu Ambayo Mwanaume Anahitaji Kutoka kwa Mwanamke


Ndoa ni tamko takatifu ambalo mamilioni ya watu tumeji-commit wenyewe kwa hiari.
Hii ina maana kwamba umepata mtu wa kuishi na wewe katika raha na shida zote hadi kifo.
Unakuwa imeingia katika kifungo cha Kupendana, kuheshimiana na urafiki, hata hivyo jinsi miaka inavyoenda unaweza kujikuta unapoteza umuhimu wa huu uhusiano na mbaya zaidi unaweza kujikutana unajisahau nini unahitaji kutoka kwa mwenzako.
Kuna mambo ya msingi ambayo mwanaume yeyote huhitaji kupata kutoka kwa mke wake mpenzi na kinachotakiwa kwa mwanamke ni yeye kufahamu nini mwanaume anahitaji na kuwekeza kidogokidogo kwa kuongeza jitihada na muda ili haya mahitaji kuwa kitu halisi.

Je ni Vitu gani mwanaume huhitaji sana kutoka kwa mke wake?
Wanaume hupenda kufahamu kile kilichoko akilini mwa mwanamke (mind)Wanawake ni viumbe tofauti sana (complex) wao ni walezi kwa asili, waumbaji wa vitu, wasimamizi wazuri na wabunifu sana.
Wanaweza kwa urahisi sana kuelezea kitu kilichopo kwenye akili zao likija suala la deal lolote la biashara kama kununua au kuuza.
Wanaweza sana kwenye mambo ya design na hata mawasiliano.
Ila likija suala mwanaume hapo ndiyo kuna tofauti.
Wanaume kawaida tunapenda kujua kwamba tumetimiza mahitaji ya wake zetu na itakuwa vizuri sana kama mwanamke atawezesha mwanaume kujua kwamba mahitaji yake kama mwanamke mume anayatimiza.
Kwa hiyo mwanamke ongea nini unahitaji, au nini unapenda kwa maneno au kwa matendo kwani kununa si jawabu au kubaki kimya si jawabu.
Jawabu ni kuelezana tena kwa upole na upendo jambo lolote unahitaji mwanaume afanye.

Wanaume huhitaji mwanamke anayejua kukubaliana/kuafikianaJe kama mume wako anapenda kuangalia au kucheza soccer siku za weekend kwa ajili ya kujiliwaza huwezi kuwa naye?
Kuna ubaya gani wewe kushangalia kile mume wako anapenda (hobbies)
Kumbuka maisha ndivyo yalivyo msipofurahi pamoja na kuwa na fun pamoja usitegemee siku mambo yabadilike yenyewe tu kuna kitu unahitaji kufanya sasa ili kesho iwezekane.
Penda kufanya pamoja kile kitu mume wako anakipenda katika maisha inaweza kuwa ni kuimba, jogging, kwenda kutembea sehemu yoyote ili pamoja au matamasha na michezo mbalimbali.
Kumbuka unaweza kuwa wewe hupendi kwenda naye huko yeye anapenda kwenda, lakini kuna wanawake wanafurahi kuwa naye huko wewe umekataa kwenda na hana njia kwani ni kitu anakipenda na ni sehemu ya maisha yake (kama hatendi dhambi).

Wanaume wanahitaji mwanamke anayejua mamboHuwezi kutenganisha habari za siasa, michezo, biashara, current news, sayansi na mambo ya kimataifa na mwanaume, hivyo usijiweke nyuma sana unahitaji kuwa mtu wa karibu kupiga naye story za mambo kama hayo, jitahidi na wewe kuwa wamo.
Inawezekana jioni kabla ya kulala mkawa na glass ya juice mnakunywa wawili huku watoto wamelala, wewe mwanamke kwa ujasiri shusha story za michezo mambo ya Chelsea, Manchester united, Liverpool au hata Yanga na Simba just for fun, au hata habari za mafisadi au hata habari za mfalme Suleiman au Daudi au business ambazo umezitafiti hapo mwanaume atajua nina mke ndani ya nyumba.
Wapo wanawake mume akianza kuongea habari za siasa, michezo au business anaondoka zake na kumwacha naamini wanaume hapo huwa hawafurahii kabisa.
Nakwambia ukijua kuongea na mumeo mambo ambayo wanaume wote wanayapenda utafahamu mambo mengi sana kuhusu ulimwengu, watu na ninyi wenyewe.
Pia unaweza kubadilisha akili katika kufahamu mambo.
Hii huimarisha sana ukaribu na hamasa ya kila mmoja kutaka kusikia kwa mwenzake na matokeo yake ndoa inakuwa tamu maana huo usiku mkimaliza story lazima chumbani kuwake moto.
Mwanaume anahitaji mwanamke ambaye kwa mapenzi ni motoHuwa kuna kawaida kwamba mwanaume katika jamii zetu za kiafrika ndiyo anakuwa mwamuzi wa mambo mengi kiasi kwamba hata wanawake wenyewe hutambiana kwamba jana mume wangu alinipeleka dinner sehemu.

Je, itakuwaje kama na wewe mwanamke siku ukamwambia mume wako leo pamoja na watoto tunaenda lunch sehemu au dinner sehemu kula, au kula kitimoto na nk pamoja na watoto wenu kwa hela yako au bajeti yako au maamuzi yako.
Wakati huo huo umetinga kiwalo chako cha nguvu (sexy) hadi unamkumbushia zile ezni zenu ambazo zilifanya avutiwe na wewe hadi kukuoa.
Wanaume wanahitaji wanawake wa aina hiyo ambao siku zingine wanafanya vitu romantic au sexy angalau hata kwa mwaka mara moja siyo mwaka mzima hujafanya jambo lolote la kuimarisha mapenzi.
Wanaume wanahitaji mwenzi siyo mtu wa kuishi naye chumba kimoja
Kuagana asubuhi na kuja kukutana jioni bila kuongea chochote mchana mzima ni dalili ya uhusiano usio na afya kabisa.
Jaribu kufikiri mwenyewe hivi ukiondoka asubuhi unawasiliana na mumeo mara ngapi?
Siku hizi karibu kila mtu ana simu ya mkononi, unaweza kutuma sms, au kumpigia just to say hi honey! Mbona wakati wachumba sms zilikuwa zinatumwa hadi vidole vikaota sugu, leo kunani?
Hamu na msukumo alionao mmoja kwa mwenzake ni msingi wa kuonesha afya na mahusuano yenye furaha.
Wakati mwingine mahusiano huenda bila mawasiliana ya mara kwa mara lakini hiyo ni sumu kubwa sana kwani inaweza kufikia kipindi hakuna hata kutakana, hamu ya kila mtu kwa mwenzake hupotea na hapo ndipo watu sasa huanza kuishi kama vile watu tofauti walioamua kuishi nyumba moja na chumba kimoja lakini ule moto umetoweka.
Kwa hiyo kama wewe ni mwanamke hakikisha unakuwepo katika mahusiano kwa maana kwamba unahitaji kumtia moyo mumeo, kumuinua pale anapokata tamaa uliza nini kinaendelea asubuhi, mchana, jioni na usiku, pia akifanya kitu kizuri mpe sifa na hongera.
Jifunze kwa busara na hekima kujua nini kinaendelea katika maisha ya mume wako na pia onesha kwamba unamjali sana (care) na kwa njia hiyo automatically atakupenda zaidi na ndoa yenu itakuwa imara zadi.

Wanaume wanahitaji mwanamke huru.

Ni kweli kila mmoja anamuhitaji mwenzake ili maisha yakamilike lakini kuna wakati mwanaume anahitaji kuona ana mke ambaye anaweza kuendesha mambo mwenyewe bila kushikwa mkono kwa kila kitu.

Pia wewe mwanamke usije mwambia mume wako sikuhitaji kwa sababu naweza kufanya mambo yote mwenywe hapo litakuwa zogo la ajabu.

Hapa nazungumzia ule uwezo wa mwanamke kuweza kuendesha mambo au familia hata kama mume hayupo. Tunajua sana wanawake mnaweza mambo mengi hata kuliko sisi wanaume ila kuna wanawake ambao bila mwanaume hawezi kufanya jambo lolote kiasi ambacho mume naye akajisikia kweli nina mke anayeweza.
Pia mwanamke hahitaji kuwa mtu wa kulaumu kila kitu, mtu wa kulalamika kila kitu, leo ukilalamika hiki kesho unaanza kingine na wakati mwingine unasingizia kwamba unaumwa wakati huumwi lengo kuuchanganya mwanume, hapo ujue unaipeleka ndoa yake eneo hatari wanaume hawaipendi hiyo, wanapenda mwanamke asiye na malalamiko au lawama au msumbufu.

Wanaume wanahitaji mwanamke anayeaminika

Bila kuaminiana, lazima kutuhumiana kunafuata na bila kuaminiana mahusiano hayawezi kuwa imara.

Mwanaume anahitaji mwanamke anayemwamini hasa pale anapokuwa hayupo.
Mwanaume anahitaji mwanamke mwaminifu huko kazini, mwanamke mwaminifu sokoni anakoenda, mwanamke mwaminifu mahali popote akiwa peke yake.

Kuwa mkweli ndiyo njia nzuri ya kujenga uaminifu, kiwe kitu kidogo au kikubwa ni muhimu kuwa mkweli na mwaminifu kwa mume wako.
Kumbuka ukidanganya kitu kimoja unahitaji kudanganya mara kumi na tano zaidi ili kufunika huo wongo kuwa ukweli hata hivyo ipo siku mambo yatagoma na mambo yakigoma utakuwa umepoteza uaminifu, na ukipoteza uaminifu ni kama kuyeyuka kwa barafu huwezi kurudisha.

Wakati mwingine kuwa mkweli na mwaminifu huonekana ngumu lakini ndiyo dawa halisi ya kuimarisha mahusiano ya ndoa yako, hata kama umenunua kitu kwa gharama sana huko dukani au sokoni mwambie ukweli bei halisi usiseme bei tofauti na ile umenunulia.

Kitu cha msingi, jaribu kufikiria kile unafanya je na wewe ungefanyiwa ungekubali? Au ungeridhilka?
Kazi kwako.

Mwanaume anahitaji kuona unavyofanya katika ya malezi

Wakati mwanamke anapochukua jukumu la kuwa mlezi katika familia mwanaume hujisikia raha sana.
Kile kitendo cha kuwasaidia watoto kama vile kufanya nao homework walizopewa shuleni, au kucheza pamoja kama vile soccer na mtoto wa miaka 4 au 5, mwanaume hujisikia raha sana kwa namna ambayo mwanamke anajibidiha kulea kile ambacho kwa pamoja mmekileta duniani.

Kama una watoto au bado kitu cha msingi lazima ujue kwamba mwanaume hujisikia vizuri sana pale unapohusika bega kwa bega kusimamia malezi ya hawa viumbe ambao mmepewa zawadi hapa duniani.
Kwa jamii zetu za kiafrika hili halina shida sana ingawa kwa huku Marekani na Canada ni kitu cha kawaida mwanaume kuachiwa kazi zote za malezi ya watoto na mwanamke akawa anakuangalia tu.

Mwanaume anahitaji uwe rafiki yake mkuu duniani.

Kama umewakuta mume na mke wakitembea wameshikana mikono naamini huwa unapata ujumbe kwamba na wewe unapenda kuwa na mume wa uhusiano wa aina hii.
(Sizungumzii wale wanafiki ambao chumbani wanazipiga na barabarani wameshikana mikono)

Binadamu ameumbwa kuwa muhitaji kwa kupendwa, muhitaji wa kuwa na rafiki kuwa na mwezi (companion) kuondoa upweke
(duniani wawili wawili mume na mke)

Mnahitaji kuwa mke na mume, lakini mnahitaji pia kuwa marafiki wakubwa siku zote.

Tunatumia muda mwingi sana kuwa na mke au mume hivyo ili kunogesha zaidi inabidi kuwa marafiki na kupeana story, michapo, kuchezezeana, kutaniana, kutembea sehemu pamoja, kucheka pamoja, kucheza michezo tunapenda pamoja, kujaribu vitu vipya pamoja.
Pia ni muhimu kuwa na marafiki wengine ila urafiki lazima uanze na ninyi wawili.

Mwanaume anahitaji mwanamke malaika wakiwa sebuleni na mwanamke mtundu wakiwa chumbani

Wanaume wanahitaji hot sex, tendo la ndoa ambalo linaleta msisimko, linalofurahisha na kutia hamasa mpya kila siku.

Jaribu vitu vipya, mikao, miguso, busu, na michezo ya kitandani au chochote umejifunza, acha woga kwamba atakuuliza nani kakufundisha, dunia ya leo tunaishi dunia ambayo wanaaiita information society, hivyo watu tunapashana habari na kufundishana kupitia magazeti, radio, TV, movie, internet nk.
Usiache kufanya kitu kipya huko chumbani eti kuogopa atakuuliza umejifunza wapi.
Kazi kubwa kwako ni kuhakikisha kitanda kinakuwa moto siku zote na pia kumpa vitu vya uhakika ili asitembeze macho nje kutokana na kuwa bored na mapishi ya aina hiyohiyo miaka nenda tudi.

Ni kweli kama umri umekwenda sana hamwezi kufanya kama ile miaka ya nyuma lakini isiwe sababu ya kutokuwa na sex yenye kuridhisha na mwanamke kuwa moto kitandani.

Miili yetu ni hekalu la Mungu la ajabu na la aina yake hapa duniani.
Mwili ni laini, una harufu nzuri, ukiguswa unapata raha ya ajabu, hivyo kama mwanamke unahitaji kujiweka safi na sexy muda wote bila kujali umri.

Kitu cha msingi ni kwamba mume wako anakuhitaji wewe, anahitaji ladha mpya na utamu kila siku kutoka kwako iwe ni kukugusa kwa mikono yake, au kukuangalia kwa macho yake au kukunusua mwili wako kwa pua yake au kukusikia unaongea maneno matamu kwa masikio yake na kukuonja mwili wako kwa ulimi wake.
Ni kweli anakuhitaji wewe na si mwingine na kwa kuwa anakuhitaji wewe basi
Mpe raha
Keep it hot,
steam it up
and you both will come back wanting more time and time again.

Mwisho

Kuna mambo ya msingi ambayo mwanaume anahitaji kwako na kuna kitu anataka kwako, kuna mambo mengi sana mwanaume anahitaji kwako kitu cha msingi timiza hizi ndoto kwa kuzifanyia kazi.
Kama utakuwa ni mtu unayekuwa mbunifu na mwenye kufanya mambo tofauti bila mazoea basi uhusiano wako na umpendaye utakuwa imara na mzuri kila iitwapo leo.
Mungu akubariki sana.

Je, Upoje Kitandani Ukiwa na Mpenzi Wako?

Picha kwa hisani ya inmagine

Je unadhani wewe ni mwanaume mzuri kitandani? Hapa kuna maswali kwa ajili yako.
Je ni mara nyingi mke wako huwa anakuhitaji kwa ajili ya tendo la ndoa?
Je, kila unapofanya mapenzi yeye hufika kileleni? Je unauhakika jinsi ulivyo mzuri kitandani
Basi jibu maswali yafuatayo kwa uangalifu na uhakika bila kudanganya na angalia mapendekezo ya majibu ambayo yapo kila baada ya swali.

Kama ni mwanamke basi unaweza kumuonesha mume wako haya maswali ili ajibu ajipime yupo wapi katika kukuhakikishia unapata raha inayotakiwa kitandani siku zote.

Je, ni mara ngapi huwa unajisifu sana kwamba wewe ni mzuri kitandani?
(a) Kamwe sijisifu
(b) Mara chache
(c) Kila wakati
Watu ambao hujisifu kwamba ni wazuri kitandani mara nyingi hawajiamini. Suala la tendo la ndoa ni maada sensitive sana kwa wanaume, hivyo kujisifu inawezekana ni kujaribu kufunika ukweli.
Je, nini mtazamo wako kuhusu usafi?
(a) Nipo kawaida, naoga, najinyoa ndevu na kutumia vipodozi vya wanaume na kuvaa nguo safi
(b) Kuna siku siogi, pia naweza kuvaa nguo moja hata mara mbili
(c) Nipo makini mno, naosha mikono kila wakati na sipendi kabisa kugusana na mtu mwingine asije nichafua
Kuwa msafi siku zote ni kitu kizuri sana. Wanawake wapo sensitive sana na kile wananusa kuliko wanaume.
Hii ina maana kwamba harufu mbaya huweza kumuathiri mwanamke kuliko mwanaume. Ni muhimu kuoga kila mara na kuvaa nguo safi, ingawa kuwa msafi kupitiliza kunaweza kuzima hamu ya mapenzi kwa mpenzi wako kwani huwezi kubusu kila sehemu kwa kuogopa kuchafuka.
Je, mwonekano wako upoje? Umepinda au umenyoka?
(a) Imara na mara zote mgongo umenyooka
(b) Imara sana labda niwe nimechoka basi mgongo huinama
(c) Kila wakati natembea nimeinama na kupinda mgongo
Mwonekano (posture) ovyo siku zote unahusiana na Uvivu. Na kama ni mvivu maana yake wewe si mzuri kitandani pia.
Wanaume wenye posture nzuri siku zote huwa wanasimama wima na mabega yakiwa sawa bila kuinama na pia ni wanaume ambao hupenda ku-improve vitu vingi katika maisha mojawapo ni suala la kitandani. Wanaume wenye mwonekano (posture) nzuri ni wazuri kitandani pia.

Je, ni mara ngapi unaongea na mikono
(a) Sifanyi kabisa
(b) Nafanya kila ninapoongea
(c) Mara moja au mbili kila ninapoongea
Wanaume wanaongea huku mikono nayo ikisaidia mara nyingi ni wabunifu na wafikiriaji wazuri. Hujitahidi sana kuhakikisha wanapofanya mapenzi kunakuwa na matokeo mazuri. Kama una mwanaume wa jinsi hii basi utafurahia kitandani maisha yako yote hadi uzeeni.

Je, wewe ni mbunifu kiasi gani kitandani?
(a) Nafanya kwa utaratibu uleule kila siku miaka Nenda miaka rudi
(b) Ninafanya tofauti kidogo angalau baada ya muda
( c) Najitahidi kuwa na kitu kipya angalau kila ninapofanya mapenzi
Kuwa bored ndiyo sababu kubwa ya uhusiano wa mapenzi kuwa ovyo na hata hamu kwisha kabisa. Kujaribu kitu kipya pamoja na mikao tofauti wakati wa kufanya mapenzi husaidia kitanda kuwa cha moto kila mara.
Wapo wanandoa ambao wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 60 na bado wana enjoy mapenzi.

Je, kuna umuhimu wowote kwako kwa mke kufika kileleni?
(a) Huwa sijali afike au asifike, ni kama hainihusu
(b) Ni vizuri akifika kileleni
(c) Nahusika sana na napenda afike kileleni na pia namsaidia kwa kiasi kikubwa kuhakikisha anafika kileleni
Kufanya mapenzi kuzuri kunategemea sana jinsi ya kutoa na kupokea kati ya wahusika. Wanaume wengi wao ni rahisi sana kufika kileleni kuliko wanawake wakati wapo kitandani. Wanawake ni viumbe wa hisia hivyo huhitaji muda zaidi ili kuweza kufika kileleni. Ingawa wanawake wengi hawapowazi kuongelea hili, bado kufika kileleni ni kitendo kinachowapa kuridhika vizuri na tendo la ndoa.
Hivyo kama huwa unahakikisha anafika kileleni basi wewe ni mwanaume mzuri kitandani.

Je, ni mahali gani unamtumia kwa ajili ya tendo la ndoa?
(a) siku zote ni kitandani kwetu chumbani
(b) Chumbani sehemu yoyote, chini au kitandani
(c) Mahali popote ambapo tunaweza
Kama kunakitu kinatakiwa kuepukwa kwa nguvu zote basi ni ile kuwa na mazoea ya kuwa na sehemu au utaratibu mmoja wa kufanya mapenzi miaka Nenda rudi. Jaribu kuwa na sehemu tofauti za kufanya mapenzi, mnaweza kusafiri au kwenda camping au sehemu yoyote.
Hawezi kusahau kumbukumbu za hizo sehemu.

Je, unapokuwa kwenye tendo la ndoa huwa unasimamamisha kwa muda gani?
(a) Dakika mbili au pungufu
(b) Kama dakika 15 hivi
(c) Hadi saa nzima kama kuna umuhimu
Hakuna ubishi uume uliodinda husaidia kumsisimua mwanamke wakati wa kufanya mapenzi. Wakati mwingine mwanamke hukata tamaa kama akijisikia wewe husisimki na matokeo yake wote mnaambulia sifuri.
Ni ukweli pia uume uliosimama na kudinda vizuri huwezi kumpa mwanamke msisimko ambao huwezesha kumfikisha kileleni.
Je, ni muda kiasi gani huwa unatumia kumuandaa mpenzi wako
(a) Sina huo muda
(b) Dakika tano hivi
(c) Hadi nihakikishe yupo tayari au amesisimka vya kutosha kiasi cha yeye kutaka.
Kama wote tunavyojua maandalizi (foreplay) ni muhimu mno kwa ajili ya tendo la ndoa.
Bila maandalizi tendo la ndoa halina ladha yoyote zaidi ya kuumizana.
Kama huwa hufanyi maandalizi yoyote hapo ni dhahiri kwamba haitawezekana kwa mkeo kufika kileleni na hatafurahia inapofika muda wa kwenda kitandani.

Na kama unatoa muda wa kutosha kwa wajili ya foreplay basi atakuwa anasubiri kwa hamu kubwa kusikia muda wa kitandani umefika.
Pia ni vizuri kufahamu kwamba mwanaume mzuri ni yule ambaye hata baada ya kumaliza tendo la ndoa si mtu wa kukurupuka na kutoa uume wakati mke hajamruhusu kwani utamu wa tendo la ndoa kwa mwanamke ni wa muda mrefu zaidi hivyo ni vizuri kubaki ndani zaidi ya dakika 10.


Je, ni mara ngapi unafanya mapenzi kwa kushtukiza?
(a) Si rahisi na kawaida
(b) Mara moja kwa mwaka
(c) Mara kwa mara tunapotaka kufanya mapenzi
Kuna raha yake kwa mwanamke kufanya mapenzi kwa kushtukiza. Utaratibu wakati mwingine huwa una bore, ni kama mazoea. Sex ya kushtukiza wakati mwingine huleta kumbukumbu nzuri zaidi na kuwa enjoyable.
Wanawake huwafurahia wanaume ambao huwapa kile wanatarajia linapokuja suala la kitandani.
Ukiwa mbunifu na mwanaume mwenye utundu kitandani basi mkeo atakushukuru na kukupenda zaidi kwa sababu unampa raha kamili.

Hawa Ndio Maadui wa Mwanamke Kufika Kileleni Wakati wa Mapenzi

Si utundu na ujanja wa mwanaume tu unaomwezesha mwanamke kupata utamu wa kufika kileleni (mshindo, orgasm, coming) bali mwanamke pia anahusika.Kufika kileleni ni nini?

Ni kiwango cha juu kabisa cha utamu, hisia, raha, msisimko wakati wa tendo la ndoa wakati ambapo misuli ya uke au uume hukaza.
Kwa mwanaume huambatana na kutoa manii (ejaculation).
Wengine wakifika kileleni hupiga kelele sana, wengine huongea maneno ovyo ovyo hata matusi, wengine huzimia kabisa, wengine huwakwida wapenzi wao kama vile kibaka, wengine hutulia kimya na kupitilia za usingizi na wengine ukiwauliza wanasema mahali walikuwa ni kama vile walikuwa hewani, wengine kama vile walikuwa wananamwona Bwana (Yesu) n.k ilimradi tu ni raha na utamu na ni kweli Mungu alitupa zawadi ya ajabu na hii ni kujulisha kwamba Mungu alituumba tena kwa namna ya ajabu.
Pia wengine huita kufikia mshindo, wengine huita coming n.k
Pia wapo ambao kwa tendo moja la ndoa huweza kufika kileleni zaidi ya mara moja.

Je mwanaume na mwanamke wote hufika kileleni sawa?Kwa wanaume kufika kileleni ni suala ambalo ni automatic, halina mjadala, kitu cha msingi kwake ni kujitahidi asifike mapema kileleni ili amfikishe mke wake pale anatakiwa kufikishwa, kwani mara nyingi mwanaume akifika kileleni hupoteza uwezo wa kuendelea na tendo.

Katika nchi zilizoendelea kama USA na Canada utafiti mwingi unaonesha kwamba
Asilimia 15 % ya wanawake hufika kileleni mara zote.
Asilimia 48 % ya wanawake mara nyingi hufika kileleni.
Asilimia 19 % ya wanawake ni kawaida kufika kileleni lakini si mara nyingi
Asilimia 11 % ya wanawake ni nadra sana kufika kileleni na
Asilimia 7% ya wanawake hawajawahi kufika kileleni na hawajui ni kitu gani.

Hapa ni wanawake kutoka nchi zilizoendelea ambako elimu kuhusu mapenzi ni kubwa sana.
je, kwetu nchi zilizogoma kuendelea hali itakuwaje?
Ukizingatia wanaume wengi bado hawajajua nini wanawake wanahitaji ili kufikishwa kileleni?

Pia kuna baadhi ya wanawake ambao hata wasipofika kileleni hawana shida wanaridhika tu bora maisha yanaenda.
Nini Kitu muhimu kuhsu mwanamke kufika kileleni?Wanawake wanaweza kuendelea kupata utamu hata baada ya kufika kileleni hivyo ni jukumu la mwanaume kuhakikisha anabaki ndani ya uke hadi anahitimisha tendo zima (conclusion) angalau kwa dakika 10 au 15 ndo ukimbie kuoga au kupiga usingizi siyo kumwacha kiumbe wa watu kwenye mataa akuugulia kwsa kumuondolea utamu na raha.

Tendo la ndoa huwa ni la kuridhisha sana hasa pale mume anapomfahamu vizuri mwanamke na kile anahitaji kwa kumfanyia utundu wote wa kuchokonoa sehemu zote ambazo zinaweza kumhakikishia kwamba atafika kileleni.
Lakini pia mwanamke anasehemu kubwa sana ya yeye kujihakikishia anafika kileleni si mwanaume tu ni suala la wote.

Je maadui wakubwa wa mwanamke kufika kileleni ni nini?Kukeketwa (Female Genital Mutilation).
Kukeketwa ni kitendo cha kukata sehemu ya uke hasa kisimi kwa wanawake.
Katika Afrika kuna nchi 28 ambazo hufanya hicho kitendo cha kikatili, na pia nchi kama Yemen na Indonesia bado wanafanya.
Ingawa wanawake waliokeketwa huweza kurudia hali ya kuweza kufika kileleni, walio wengi huathiriwa sana na hiki kitendo na kuwasababishia kushindwa kufika kieleleni.

Dini, jadi na utamaduni:
Kuna baadhi ya mitazamo na malezi ya dini, jadi au tamaduni huwapa wanawake mtazamo mbaya, finyu na usio na maana kuhusiana na tendo la ndoa.
Katika dini, jadi, na tamaduni nyingi ukiacha jando na unyago, elimu ya mwanamke kuhusu mwili na uzazi havifundishwa wala kutamkwa matokeo yake wanawake wengi hawaijui miili yao, kiasi ambacho unakuta kijana wa kiume anamuoa binti hajui chochote kuhusu mwili wa huyo mwanamke na mwanamke mwenyewe hajui chochote kuhusu mwili wake mwenyewe, akiguswa chuchu anakataa kwani ni kwa ajili ya mtoto, hapo utategemea afikishwa kileleni kweli?

Kisaikolojia.
Hili huchangia kwa asilimia 95 kwa matatizo yote yanayosababisha mwanamke asifike kileleni.
Adui mkubwa anayetisha sana wa mwanamke kutofika kileleni ni akili (mind.)Hofu labda ya kuachwa,
mashaka, kutojiamini, kukasirika,
donge moyoni, kisirani au
mahusiano kutokuwa mazuri huweza kusababisha mwanamke kutofika kileleni.
Kushindwa ku- concentrate kwenye tendo lenyewe na kupata hisia halisi (sensations).
Kuwa na mawazo ya kitu kingine wakati wa tendo la ndoa
Mawazo hasi (Negative) kuhusu tendo la ndoa, pia Kuwa mchomvu.

Kibailojia
Kama vile kuwa na mfumo ovyo wa mzunguko wa damu kwenye maeneo ya viungo vya uzazi pia huchangia.
Anaweza kuwa na uvimbe au kisukari pia huchangia.
pia hitilafu za viungo baada ya kufanyiwa upasuaji hasa sehemu ya uke.

Umri (Menopause)
Kuna wakati mwanamke kuanzia miaka 48 – 52 hupata mabadiliko ya upungufu wa homoni na huo upungufu husababisha sehemu ya uke kuwa kavu wakati wa tendo la ndoa.
Kuwa na uke mkavu huchangia katika ufanisi wa tendo la ndoa kuwa mdogo na hatimaye kushiondwa kufika kileleni
Si kweli kwamba mwanamke akizeeka uwezo wa tendo la ndoa unakuwa mdogo, muhimu ni kutumia vilainisho kama gel au KY jelly na libeneke linaendelea kama kawaida.

Kutumia madawa (Medicaments).
kama unatumia dawa za kuzuia msongo wa mawazo pia huchangia ile hamu ya tendo la ndoa (libido) na matokeo yake kukosa kufika kileleni.
Pia kuna dawa za uzazi wa mpango hupunguza hamu ya tendo la ndoa hasa zile ambazo huingizwa mwilini (sindano)
Pia dawa za kupunguza pressure hupunguza uwezekano wa kufika kileleni.

Pombe, madawa ya kulevya na sigaraAlkoholi na madawa ya kulevya hupunguza sana hamu ya tendo la ndoa.
Huathiri mfumo wa Fahamu unaohusika na mzunguko wa hisia za mapenzi kati ya ubongo na uke.
Kama inavyoathiri (alkoholi) mwanaume kudindisha vilevile huathiri mwanamke kufika kileleni.

Mwonekano, urembo na umaridadi:Kwa mwanamke jinsi anavyoonekana na jinsi mwanaume anavyoonekana kuna sehemu katika hisia za mapenzi (emotions na feelings).
Kama yeye mwenyewe anajijua kwamba hayupo vizuri kimwonekano (urembo, usafi, harufu) na pia kama mwanaume hayupo sawasawa basi anakuwa ameathirika sana kiasi ambacho hawezi kufika kileleni.
Pia wanawake wana uwezo mkubwa kunusa harufu kuliko mwanaume hivyo harufu yoyote mbaya kwake huwezi kumpeleka nje kabisa ya njia ya kwenda kileleni.

MazingiraKama eneo au chumba mlichopo hakina usalama kama vile anahisi mtu anachungulia au anaweza kuingia, kwa mwanamke hiyo ni issue kwani hawezi kufika kileleni kwa sababu ya usalama wake.
Je kuna jinsi ya kuondoa tatizo la kutofika kileleni?
Kujiruhusu mwenyewe kupenda tendo la ndoa na zaidi kupenda kufika kileleni kwa hamu kubwa.
Kuwa responsible kwa mambo yote yanayohusu ufanisi wa tendo la ndoa.
Kujipa elimu na maarifa kuhusu elimu ya mapenzi kwa mwanaume na mwanamke, viungo vinavyohusika na kila kitu kinachiweza kukupa tofauti katika ufanisi uimarishaji wa tendo la ndoa kama unavyosoma hapa sasa hivi.
Kuwa na mawasiliano wakati wa tendo la ndoa hasa kuhusiana na maeneo yote ambayo unasisimka pale ukiguswa au kuchezewa.
Kufanyia kazi kila tatizo lolote la kisaikolojia na kupata solution kabla ya tendo la ndoa.

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAUME KITANDANI WAKATI WA MAPENZI

Mwanamke yeyote anayeweza kumfanya mwanaume kuwa mtu wa furaha anastahili pongezi kubwa sana kwa kazi nzuri unayofanya hasa kujitoa ili kuhakikisha ndoa yake inakuwa na afya kila siku.
Wapo wanaume (siyo wote) hata kama mwanamke anajitahidi kwa nguvu zote na ujuzi wake wote kumfurahisha, bado mwanaume haelewi somo anaendelea na maisha yake kama anavyojua yeye, hana muda wa kusikiliza kitu chochote kutoka kwa kiumbe anaitwa mwanamke.

Binafsi namshukuru Mungu na pia nakiri kabisa kwamba ni moja ya wanaume walio barikiwa duniani kupata au kuoa mke ambaye anajitahidi siku zote kuhakikisha ninakuwa mwanaume mwenye furaha; kwani naziona juhudi zake kwa maneno na matendo.
Ili kuchambani kuwe na furaha ni muhimu furaha kuanzia nje ya nyumba kabisa then sebuleni na kumalizia chumbani.
Jambo la msingi katika mahusiano ya ndoa; kila mwana ndoa anatakiwa kufanya lile ambalo na yeye anapenda kufanyiwa.
Jitahidi sana kutenga muda kwa ajili ya mume wako kwani maisha ni mafupi sana kuishi kwa kubishana, hasira, gubu, donge, kusemana na kulaumiana hakuna maana zaidi ya kupoteza muda kwani katika vita ya mume na mke anayepata hasara wa kwanza ni ninyi wenyewe then watoto.
Muhimu ni kuishi kwa kupeana mambo mazuri sasa hivi kwani huwezi kujua kesho kitatokea nini, life is too short so live at fullest.
Anza kwanza wewe mwenyewe mwanamke kuwa mtu wa furaha then mwambukize na yeye, hapo mtakuwa mmefungua mlango wa furaha ya nje na ndani ya sita kwa sita.
Furaha ya kwanza kwa mwanaume ni wewe mwanamke unavyoonekana.Idara ya mwonekano, urembo, uzuri ambao unakufanya uwe mwanamke.
Mwanaume siku zote anapenda sana mwanamke ambaye anapendeza (likable) jitahidi kujiweka safi muda wote,
kwa nini uwe rough,
mchafu, unanuka, hujipendi,
mzembe, hujipambi,
unakuwa kama huishi dunia ya leo.
Kujipamba na kupendeza ni asili ya mwanamke na wanaume huvutiwa na jinsi mwanamke unavyoonekana.
Ni vizuri kumuonesha mume wako jinsi unavyompenda, jinsi unavyomjali na jinsi unavyomuhitaji na kujitengeneza vizuri ni moja ya njia ya kuonesha hayo.
Usitegemeee mwanaume atapata furaha chumbani kama mwanamke mwenyewe ndo huna mpango na uzuri wa mwili wako.

Je mwanaume kwa chakula unaweza kumpa furaha?Ni kweli tupu, Unaweza kumfanya mwanaume ajisikie raha sana na furaha kubwa hadi chumbani hasa kama unajua jinsi ya kumpa mlo wa uhakika (chakula anachokipenda) na kama Mungu amekubariki kupika vizuri basi hiyo ni silaha muhimu sana.
Jaribu angalau kwa weekend mtengenezee chakula maalumu ili na yeye awe moja ya wanaume wenye furaha hiyo hapa duniani.
Hivi umewahi kupanga mkakati wa kuhakikisha kuna siku mume wako anakuwa ni mtu pekee mwenye furaha duniani?
Kama bado sasa ni wakati wake!
Hata kama unajua wewe kupika chakula kitamu ni kilaza, bado unaweza kusoma vitabu au kujifunza then ukampikia mumeo.
Wapo wanawake wanajua kabisa mume wake anapenda chakula aina fulani na anajua kabisa akimpikia hicho chakula mume huwa anafurahia lakini who cares, miezi inapita mume hajapata hicho chakula anachokipenda na wakati huohuo mwanamke ana lalamika eti mume siku hizi hanipendi na chumbani mambo si moto, anza kwaza kuwasha moto jikoni then usubiri na yeye awashe moto wa chumbani; thubutu utavuna ulichopanda!
Kama unataka chumbani kuwe na furaha lazima na wewe afanye sehemu yako kwa ajili yake.
Wapo wanawake miezi na miezi, mwaka hadi mwaka kila siku chakula anapika house girl, najua wanaume tunafahamu kabisa kwamba wake zetu mna majukumu makubwa, ila kitendo cha kupikiwa na msichana wa kazi mwezi mzima, mwaka mzima na wewe upo huwa wanaume hawafurahii.
mwanaume hujisikia furaha sana siku akila chakula alichopika na mke wake.

Utampaje furaha huko chumbani?Ukisha kuwa umemtengenezea mazingira ya furaha nje ya chumbani, basi lazima hata chumbani atakuwa na furaha tu kwani kazi muhimu umeifanya, kilichobaki ni kuangusha mbuyu kwa shoka moja tu.
Wakati unaingia chumbani tu achana kabisa na mawazo yoyote hasi kuhusu yeye, achana kabisa na mambo usiyoyapenda kuhusu yeye na badala yake jiweke huru na wazi kabisa zaidi jimwage au jiachie kabisa.
Usimfiche kitu chochote unataka kutoka kwake, yaani uwe wazi na jisikie huru fanya kile yeye huwa anapenda hapo hakuna mipaka hakuna kuogopa kufanya kitu, hapo ni uhuru wa ajabu. Mpende kwa maneno,
kwa matendo,
kwa kunusa,
kwa kuonja kwa kugusu na
kwa hisia zote.Usijilaze kama gogo mbele ya mume wako na kumsubiri yeye afanye kila kitu, participate fanya kile kimekuleta kutoka kwa wazazi wako, kwani kwa wazazi wako ulikuwa huvai, ulikuwa huli, si umemfuata kwa sababu yeye ndiye peke yake anaweza kukupa huduma ambayo wazazi wako hawawezi kukupa, yeye peke yake anaweza kuuhudumia mwili wako na feelings zake, ndiyo maana inabidi uchangamke, ujishughulishe na kuhakikisha unapata kile unahitaji kutoka kwake na kwa kuwa wote mna furaha na mnafanya kile mnapenda basi hapo kutakuwa na furaha kuu.
Mwanamke lazima uwe mtundu!

Je Wafahamu Jinsi ya Kuzuia Kukojoa Haraka Ili Kumridhisha Umpendaye


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiT7HviK0Yw9V-HejprE4MIvJGHWVNhKHsCnhyDwJ_seHCxPQA49ZpwVgp3Dad95T89QM035hMdrKPOJyyNB1olnHHnUuihITrDrjjg1zdaIlUFTs5ncS3FRhhZ8n9qm7MiJ32gjOFJfgcZ/s1600/10629764_529429287203580_6802914566942629270_n.jpgTakwimu zinaweza kukushangaza kwamba
zaidi ya Robo (25%) ya wanaume duniani kote husumbuliwa na tatizo la 
kuwahi kupizi wakati wa tendo la ndoa!
Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe
pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma.
  • Jenga tabia ya kufanya mazoezi: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu.
  • Pumua vizuri na kikamilifu: Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki  hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua kama pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kupizi mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. 
  • Mshirikishe mwenzako kikamilifu: Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kukojoa haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema 'ngoja' na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo.

Utajuaje Kama Umemkuna Mpenzi Wako Vizuri

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8FfSeVuLVtK7MtMKL1fvE2mjouddc2kKTTLJ8UHgFx-TwFaq3p0g8cw01xuGpMJpchj0li5nD9tmnue6NR1sEDcrcyfWzp4d59mMwDeLBzC2jqzuytSL53Ar3fjwPNu_rTNFiFSml4Gg/s640/wapenzi.jpg 
Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa.

1.Kufinya shuka kwa nguvu
Kufinya shuka au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonyesha kwamba inamkuna vizuri.

2.Kukukumbatia kwa nguvu au kukufinya:
Hii pia no moja kati ya ishara nyimgi anazoonyesha mwanamke pindi anapo tombwa vizuri.

3.Kutokwa na jasho ndani ya sekunde chache:
Ukiona anatokwa na jasho ndani ya sekunde chache na katika hali isiyo ua kawaida basi jua kua utendaji wako ni mzuri na unamridhisha.

Acha niishie hapo kwa leo, lakini sina maana kwamba kama mwanamke wako haonyeshi moja kati ya ishara hizo au zote basi ndio inamaanisha haumridhishi, hapana. Hizi ni baadhi tu, zipo nyingi tu.

Mambo Matano (5) Jinsi ya Kumridhisha Mwanamke Kimapenzi


http://www.bongossip.com/wp-content/uploads/2015/03/e187lovers2Bdeep.jpgWanaume hatimaye kutambua kwamba hawapo peke yao kitandani na kwamba kumridhisha mwanamke ni muhimu katika kudumisha uhusiano wa kimapenzi! Kuchukua hii kutoka kwangu  nawaambieni, haya mambo matano yakitekelezwa kwa ufasaha, yatafanya mwanamke wako achanganyikiwe zaidi kila saa!
  1. Wanataka uwe wa mwisho kumaliza: Kawaida wanawake huchelewa kutosheka kimapenzi zaidi ya wanaume, wastani wa dakika 8 zaidi wakati kikawaida wanaume wengi humaliza mapema hata kabla dakika 8 hazijafika!
  2. Anapenda umpe maandalizi ya kutosha: Mwanamke huhitaji mda huu kabla ya tendo ili kuamsha hisia zao na kulainisha uke wake vizuri tayari kwa kuingizwa! Asipopata mda mzuari wa maandalizi, tendo zima hugeuka kuwa la maumivu. Maandalizi mazuri pia ni njia nzuri ya kumsogeza kazibu na kilele.
  3. Kuchezea kinembe! Kinembe ni sehemu ambayo misisimko mingi kama sio yote, huanzia. Ukidharau kinembe basi kwa hakika inatosha kabisa kumfanya mwanamke asiridhike!
  4. Maongezi ya kingono: Anapenda sana! Anapata nyege sana anaposkia kuwa unatamani sana kumridhisha! Mwabie utamfanyia nini na utamfanyaje na kwamba lengo lako ni kumpa utamu usio semeka!
  5. Muulize ni kitu gani hasa anatamani umfanyie kitandani: Kila mtu ni tofauti inapokuja kwenye swala zima la ngono. Njia pekee ya uhakika ya kujua nini mwanamke anapenda kutoka kwako ni kumuuliza. Udadisi wako unaweza pia kumfanya akutamani zaidi.
Hauhitaji kuwa mtanashati ili kumridhisha mwanamke kimapenzi! Unahitaji udadisi kidogo na kujifunza zaidi

Fahamu Namna ya Kunyonya Mboo kiufasaha Ili Kumridhisha Mpenziwe

http://2.bp.blogspot.com/-AxWfQiFPLWM/Tbv_LWg0oRI/AAAAAAAAAA8/_f1bPbJLUoY/s320/last-longer-during-sex-3.jpg
Kila mwanaume atakubaliana na mimi kwamba kunyonywa mboo ni starehe nzuri sana ambayo kila mwanaume huipenda na kuitamani.

Kwa dada zangu ngoja niwamegee dondoo tatu (3) tu lakini ni muhimu sana kuzijua kama unapenda kumpagawisha mpenzi wako kwa kumnyonya mboo  kwa ufasaha!


1. Weka mate ya kutosha:
     Hakikisha kinywa chako hakikauki mate na mate hayo yatapakae kwenye mboo huku ukiendelea kuyasambaza kwa ulimi. Wengine wanashauri hata kutumia maji, lakini mimi naona kama unaweza kutumia mate pekee inapendeza zaidi.

2. Meno yasiguse Mboo:
    Funika meno yako kwa kutumia midomo (lips) yako ili kuzua meno yasiguse au kukwaruuza mboo kwani yakigusa huwa yanaharibu burudani yote na zoezi zima linakua sio starehe tena. Ukifunika meno vizuri inafanya mwanaume ajiskie kama anainguza sehemu fulani, yani kwa kifupi inakua kama mkundu vile!

3. Shikashika Mapumbu:
    Huku ukiendelea na zoezi kwa utaratibu, hakikisha vidole vyako viko pale kwa chini vikishika pumbu kwa utaraatibu na kucha ziki kunakuna kidogo kidogo ili kukamilisha zoezi zima.
Nakuhakikishia kama utafanya haya kwa ufasaha, basi kama ulikua hujawahi kumsikia mwanaume akilia basi hii itakua mara yako ya kwanza kumshuhudia akilia kwa Utamu!

WANAWAKE HIZI NDIO THE BEST STYLE ZA KITANDANI(LADIEZ ONLY)


 

Kumshika mwanaume kule chini kuna hitaji moyo na mapenzi ya dhati dhidi ya mpenzi wako na vilevile hisia uipatayo wakati unafanya hivyo (kama ilivyo kwa wanaume kwenda chumvini), lakini kwa wanaume hawaitaji kushukiwa huko ili kupata utamu wa ngono kwani wao hawana matatizo ya kifika kileleni kama wanawake (asilimia kubwa) hivyo kumshukia mwanaume huko chini k...unategemea zaidi na ninyi wawili ktk kukoleza ukaribu wenu wa kimapenzi.

Kwa kufikiria kunyonya uume ni rahisi sana, lakini kiutendaji sio rahisi hivyo kwani unahitaji ufundi kiasi ili kumfanya mpenzi wako afurahie mdomo wako huko chini kwake.

Unaweza ukaanza kuunyonya kabla hata haujainuka na hivyo wewe ukaunyanyua...ila unaweza kuwa umechoka hali itakayopelekea usinyonye ipasavyo mara utakapo kuwa mgumu (dinda).

Unapounyonya uume sio lazima umeze ule ute hasa kama unakinyaa na badala yake unaweza kumpa mpenzi wako "dry suck" kwamba unamnyonya bila kuachia mate yako na hivyo kitakachokuwepo mdomoni ni ule ute wake kiasi ambao utakuwaunauachia kinamna kila unapoenda juu (kichwani).

Kuna akina dada waliwahi kuniandikia kwa nyalati tofauti wakilalamika kuwa wapenzi wao wanawalazimisha wawanyonye in-direct, kwamba jamaa anachojoa kisha anamsimamia mbele yake uume ukiwa sambamba na mdomo kisha kujisukuma mdomoni.

Mwingine akalalamika kuwa wake huwa anasukuma kichwa chake ili aende chini akamnyonye kila wakati anapombusu sehemu za kiunoni.

Mdada wa 3 alilalamika kuwa mpenzi wake huwa anamwambia "nishukie chini basi".

Kaka yangu, kama na wewe unatabia hiyo napenda kukufanhamisha kuwa ni bonge la "turn off" kwa wanawake wengi......kwenye mapenzi hamlazimishani bali mnafanya mambo/vitu kutokana na unavyojisikia au jinsi ulivyopanga kumfurahisha mpenzi wako siku hiyo.....unatakiwa ku relax na mwachie afanye atakacho mwilini mwako na utafurahia. Ikiwa ka-miss jambo basi ni vema kulizungumza nje ya uwanja (sio kitandani).

Jinsi ya kunyonya uume.
1-Anza kwa kubusu ktk mtindo wa kulamba maeneo yaliyo karibu na uume hasa sehemu ya ndani ya mapaja, anza paja la kulia na hamia paja la kushoto.....wakati unaendelea na safari yako ya kulamba tumia mkono wako mmoja kumshika sehemu ya kiunoni pale karibu na mboo.

2-Utaona uume unaanza ku-move (ukiwa umesimama), sasa ili usikuharibie utamu wa kubusu ushikilie kwa mkono wako mwingine kama vile umeshika mua au chupa ya soda kwa juu na peleka mkono huo juu na chini huku ukiendelea kubusu-kulamba.

3-Mkono wako ukiendelea na safari ya juu-chini hamishia mdomo wako kwenye pumbu (makende), yalambe taratibu na ukiweza yakoweshe kwa mate (yabugie a.k.a yaingize yote mdomoni mwako) huku ukitembeza ulimi taratibu...kuwa mwangalifu na meno yako wakati umeyabugia kwani ni "sensitive" na wanadai kuwa ukikosea kidogo huwa yanauma.

4-Toka sehemu hiyo ya makende kwa kubusu taratibu wakati unaelekea kwenye mtunguli wenyewe (mboo), tumia mkono wako kwenda juu-chini (kamanilivyosema awali) kisha anza kulamba ktk mtindo wa kunyonya kwenye shaft a.k.a shina la uume....ulambaji wa hapa unategemea na mpezni mwenyewe unaweza lamba kuanzia "base" kwenda juu kuzunguuka mboo au unaulamba ktk mtindo wa kubugia hatua kwa hatua (kiupande-upande kama unamenya mua kwa kutumia meno yako) hehehehehe nimewakumbuka Wasukuma.

**Mpaka hapa mpenzi anaweza kumwaga.....ikitokea­ basi jipongeze kwa job well done.....vinginevyo endelea kama ifuatavyo:-

5-Sasa shusha mkono wako na shika kule mwishoni mwa shina la uume (base) au karibu na "base"(inategemea na ukubwa)....kufanya hivi kutakusaidia wewe kujua kiasi gani cha uume unaweza kumudu ndani ya mdomo wako hasa kama unataka kumpeleka mpaka kwenye koromeo (angalia usijitapishe tu).

6-Anza shughuli sasa ya kuunyonya uume na zingatia zaidi kumkichwa kwani ndio kunako utamu, kwa kutumia midomo yako ya nje (lips) ficha meno yako ili usimkwaruze (kuwa kibogoyo kwa muda huo sawa?) alagu endelea na juu chini huku ukipunguza na kuongeza "speed".

Hakikisha unatumia mikono yako yote miwili ili kumuongezea raha mpenzi wako....mkono mmoja unacheza na pumbu....mkono mwingine unatembea kutoka "base" kwenda kati ya shina la uume.
Unapokwenda juu kwa kutumia mdomo wako hakikisha mkono unakufuata na ukirudi chini hakikisha mkono wako unakufuata.....time to time baki kichwani na tumia ulimi na lips zako kunyonya/lamba na wakati huo mkono unakwenda juu-chini kwa speed kali (kama vile anajichua) na hapo utamuongezea kautamu....

LAANA HIZI PADRI KATOLIKI ANASWA KICHAKANI AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI

KAMA mti mbichi unatenda haya, itakuwaje kwa mti mkavu?! Ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa kufuatia kunaswa kichakani akiwa na mrembo.

Padri Anatoly Salawa akitaharuki baada ya fumanizi hilo.
NI SAA 8: 02 USIKU
Kiongozi huyo wa dini alinaswa hivi karibuni majira ya saa 8: 02 usiku akiwa ndani ya gari aina ya Toyota RAV 4 lenye nambari ya usajili T 674 ADA kwenye kichaka kilichopo maeneo ya viwanda na gereji za magari makubwa, Kurasini jijini Dar.
OFM WAPIGIWA SIMU
Huku mvua kubwa ikinyesha na baridi ikipuliza vilivyo achilia mbali baadhi ya maeneo ya jiji kutotulia kwa mafuriko na foleni, Makamanda wa Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers walipigiwa simu na mlinzi mmoja wa Kimasai wa kwenye gereji hizo na kunyetisha juu ya gari lililosimama karibu na eneo lao la lindo huku likinesanesa.
Mlinzi huyo alieleza kuwa yeye na wenzake walilichunguza kwa makini gari hilo na kuona kuwa ndani yake kulikuwa na watu wawili wa jinsi tofauti lakini walishindwa kujua wazi kilichokuwa kikiendelea.
“Yero mpo wapi? Sisi ‘tumesa piga’ simu polisi wanakuja hapa fanyeni haraka, mnaweza kupata picha wakati hawa watu wanatimuliwa maana wapo vichakani hapa mita kama 20 kutoka barabarani. Tuna wasiwasi, huenda ni watu wabaya ‘wametufamia’,” alisema mlinzi huyo kwa lafudhi ya Kimasai.
WALINZI WAINGIWA SHAKA
Mlinzi huyo alisema kuwa mara kwa mara gari kama hilo  limekuwa likifika hapo majira ya usiku wa manane hivyo kuwafanya kuingiwa na shaka na kuamua kutafuta namba za simu za polisi na OFM.
“Hili gari huwa linakuja hapa mara kwa mara hivyo ikatulazimu kutafuta namba zenu OFM ili kama kuna maovu yanafanyika mje kuyafichua,” aliongeza mlinzi huyo. 
Mrembo akiduwaa baada ya tukio hilo.
ENEO LA TUKIO
OFM, wakiwa na gari aina ya Toyota Cresta GX 100, walifika eneo la tukio ndani ya muda mfupi na kuwakuta polisi nao wakiwasili kisha kuchukua kwanza maelezo kwa walinzi hao bila kuwashtua wahusika kwenye gari.
Baada ya mahojiano na walinzi hao, walilifuata gari hilo na kulipekua ambapo hawakuamini macho yao baada ya kumkuta mtu mzima huyo katika gari hilo akiwa na mrembo aliyekuwa mtupu.
PADRI ADAI KUINGILIWA STAREHE ZAKE
Huku mvua ikiendelea kumwagika, padri huyo alionekana akiwa ametaharuki ndani ya gari asijue la kufanya.
Mara baada ya kuwanasa wawili hao, padri alijitetea kwa kusema kuwa, alikuwa ameingiliwa na wahuni katika starehe zake hivyo aliingia kwenye gari na kutimua na mrembo wake.
ATAFUTWA TENA
Kabla gazeti hili halijakwenda mitamboni, jana lilimtafuta tena padri huyo ili kama ana la ziada la kusema alitoe lakini simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa na baadaye ikazimwa kabisa.
SMS YA KWANZA YADUNDA
Baada ya muda simu hiyo iliwashwa tena na ndipo  alipotumiwa ujumbe mfupi wa simu ya mkononi (SMS) iliyosomeka; ‘mimi ni mhariri wa Gazeti la Ijumaa, naomba upokee simu, nina jambo muhimu sana la kuongea na wewe’. Hata hivyo, SMS hiyo haikujibiwa.Padri Anatoly akijistili baada ya tukio hilo.
SMS YA PILI NAYO KIMYA!
Baada ya SMS hiyo, padri huyo aliendelea kupigiwa simu lakini bado iliita bila kupokelewa ndipo akatumiwa ujumbe mwingine uliosomeka hivi; ‘mkuu tumepata tukio lako ukiwa kichakani ndani ya gari usiku na mrembo akiwa mtupu. Wewe unalizungumziaje tukio hili? Kwa maana nyingine unajiteteaje? Tunaomba maelezo yako’.
Kama ilivyokuwa kwa ujumbe wa kwanza, nao huo haukujibiwa.
IJUMAA LATINGA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH
Ili kuendelea kumsaka padri huyo baada ya ukimya wa meseji, gazeti hili lilitinga kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwa lengo la kuomba msaada wa mawasiliano mengine kama yapo.
Hata hivyo, muumini mmoja aliyekutwa eneo hilo alisema mtu anayeweza kusaidia kupatikana kwa Padri Anatoly ni Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Tarcisiius Ngalalekumtwa.“Mimi sina namba yake, anayeweza kukusaidia ni (Tarcisiius) Ngalalekumtwa. Kwani ana nini huyo Padri Anatoly?”
Ijumaa: “Tukikutana na Ngalalekumtwa tutamwelezea. Lakini asante kwa ushirikiano wako.”
BOSI WAKE ASAKWA LAKINI…
Gazeti hili lilimtafuta bosi wa padri huyo Ngalalekumtwa ili kujua ana lipi la kusema juu ya tukio hilo lakini jitihada hizo ziligonga mwamba hivyo jitihada zinaendelea.
Mrembo akificha sura yake baada ya tukio hilo.
WALINZI WARUDIWA
Juzi mchana, Ijumaa liliwarudia walinzi hao wa Kimasai na kuwauliza kama wanamjua mtu aliyekuwa ndani ya gari hilo.
Mlinzi: “Sisi tulimuona kama mtu asiyefaa kwetu maana gari likija usiku tunakuwa na wasiwasi wa kuvamiwa. Kwa hiyo tunajiami kwa njia yoyote.”
Ijumaa: “Yule mrembo mnamjua kabla ya tukio la jana?”
Mlinzi: “Hapana. Hatujawahi kuonana na yeye.”
NGOMA BADO MBICHI
Ijumaa ndilo limeanzisha mwendo, magazeti mengine Pendwa ya Global Publishers yanafuatia. Endelea kusoma ili kujua kwa undani kuhusu tukio hilo. Mrembo ni nani na kwa nini walikuwa pale usiku huo?

KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZI LA LAANA

Kuna ambao wanajua kweli kupenda. Akisema anampenda fulani, anamaanisha na kuna wale ambao wanaweza kusema wamependa kumbe hamna lolote. Unamkuta mwanaume anadanganya kuwa ametokea kumpenda msichana fulani na ana dhamira ya kufunga naye ndoa lakini kumbe hana lolote, nia yake amuonje kisha aingie mitini.
Achilia mbali hao, kuna wanaume ambao wanatumia pesa na utaalam wao wa kuongea kuwarubuni wasichana ili watembee nao kwa kipindi fulani kisha wakisharidhika, wanawaacha. Wavulana hao wapo na wamekuwa ni tatizo kubwa huko mtaani.
Lakini pia wapo wasichana ambao wenyewe wanajiita wa mjini. Yaani wao hawajui kupenda, wanachoangalia ni mwanaume ‘mwenye nazo’. Wakishampata, watajifanyisha kuwa na mapenzi ya dhati kupita maelezo kumbe hamna kitu, usanii mtupu!
Katika mazingira hayo sasa utaona ni kwa jinsi gani mapenzi yamekuwa janga. Ndiyo maana leo hii wapo wanaotamani kutojihusisha na mambo ya mapenzi kwa sababu hizi za usanii na ujanja mwingi.Wakati mambo yakiwa hivyo, kuna baadhi ya watu ambao wamekithiri kwa tabia ya kuwatesa wapenzi wao kisa wameoneshwa kuwa wanapendwa sana.
Wapo ambao wakipenda wamependa kweli na hawawezi kujizuia kuonesha hisia zao kwamba ‘wamekufa’. Hatua hiyo sasa hivi badala ya kuwa changamoto kwa aliyependwa ili naye aongeze mapenzi, inakuwa tatizo. Uchunguzi umebaini kuwa, mwanaume akioneshwa kupendwa sana na mwanamke, atavimba kichwa na kumfanyia mwenzake kila aina ya visa eti kwa kuwa amebaini amezimikiwa.
Hili halipo kwa wanaume tu. Wapo wanawake ambao nao kwa kujua kuwa waume zao wamekufa kwao, dharau inaongezeka, heshima inapungua na kufanya hata yale ambayo wanajua yanawakera wenzao. Hivi kwa nini tufikie hatua ya kuwaliza na kuwanyanyasa watu ambao wameshindwa kujizuia kuonesha mapenzi yao kwetu? Kama ulikuwa hujui basi leo tambua kuwa, anayekupenda kwa dhati kisha wewe ukamfanya kila siku ni wa kulia, chozi lake haliendi bure.
Inaweza kuwa ni laana kwako na hata pale atakapoamua kunyoosha mikono juu, unaweza kushangaa unakutana na majanga kibao na kujutia uliyokuwa unayafanya.Mimi nadhani kama humpendi mtu ni vyema ukamwambia mapema ili ajue kwamba, kama atatumia nguvu na muda wake mwingi kwako, ni kazi bure.
Unapokubali kuwa na wewe unampenda kisha baadaye unaanza kumfanyia vioja, ni dhambi hata kwa Mungu.
Iko hivi, kama kweli unapenda, mdhihirishie kwa matendo ili asiwe na shaka kwamba huenda ameingia kwenye penzi la kisanii.
Kama yeye amekutamkia kuwa anakupenda lakini wewe ukahisi huna mapenzi naye, kuwa muwazi kwake ili ajue wazi amempenda mtu ambaye hampendi!
Tukutane tena wiki ijayo kwa mada nyingine.