LAANA HIZI PADRI KATOLIKI ANASWA KICHAKANI AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI

KAMA mti mbichi unatenda haya, itakuwaje kwa mti mkavu?! Ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa kufuatia kunaswa kichakani akiwa na mrembo.

Padri Anatoly Salawa akitaharuki baada ya fumanizi hilo.
NI SAA 8: 02 USIKU
Kiongozi huyo wa dini alinaswa hivi karibuni majira ya saa 8: 02 usiku akiwa ndani ya gari aina ya Toyota RAV 4 lenye nambari ya usajili T 674 ADA kwenye kichaka kilichopo maeneo ya viwanda na gereji za magari makubwa, Kurasini jijini Dar.
OFM WAPIGIWA SIMU
Huku mvua kubwa ikinyesha na baridi ikipuliza vilivyo achilia mbali baadhi ya maeneo ya jiji kutotulia kwa mafuriko na foleni, Makamanda wa Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers walipigiwa simu na mlinzi mmoja wa Kimasai wa kwenye gereji hizo na kunyetisha juu ya gari lililosimama karibu na eneo lao la lindo huku likinesanesa.
Mlinzi huyo alieleza kuwa yeye na wenzake walilichunguza kwa makini gari hilo na kuona kuwa ndani yake kulikuwa na watu wawili wa jinsi tofauti lakini walishindwa kujua wazi kilichokuwa kikiendelea.
“Yero mpo wapi? Sisi ‘tumesa piga’ simu polisi wanakuja hapa fanyeni haraka, mnaweza kupata picha wakati hawa watu wanatimuliwa maana wapo vichakani hapa mita kama 20 kutoka barabarani. Tuna wasiwasi, huenda ni watu wabaya ‘wametufamia’,” alisema mlinzi huyo kwa lafudhi ya Kimasai.
WALINZI WAINGIWA SHAKA
Mlinzi huyo alisema kuwa mara kwa mara gari kama hilo  limekuwa likifika hapo majira ya usiku wa manane hivyo kuwafanya kuingiwa na shaka na kuamua kutafuta namba za simu za polisi na OFM.
“Hili gari huwa linakuja hapa mara kwa mara hivyo ikatulazimu kutafuta namba zenu OFM ili kama kuna maovu yanafanyika mje kuyafichua,” aliongeza mlinzi huyo. 
Mrembo akiduwaa baada ya tukio hilo.
ENEO LA TUKIO
OFM, wakiwa na gari aina ya Toyota Cresta GX 100, walifika eneo la tukio ndani ya muda mfupi na kuwakuta polisi nao wakiwasili kisha kuchukua kwanza maelezo kwa walinzi hao bila kuwashtua wahusika kwenye gari.
Baada ya mahojiano na walinzi hao, walilifuata gari hilo na kulipekua ambapo hawakuamini macho yao baada ya kumkuta mtu mzima huyo katika gari hilo akiwa na mrembo aliyekuwa mtupu.
PADRI ADAI KUINGILIWA STAREHE ZAKE
Huku mvua ikiendelea kumwagika, padri huyo alionekana akiwa ametaharuki ndani ya gari asijue la kufanya.
Mara baada ya kuwanasa wawili hao, padri alijitetea kwa kusema kuwa, alikuwa ameingiliwa na wahuni katika starehe zake hivyo aliingia kwenye gari na kutimua na mrembo wake.
ATAFUTWA TENA
Kabla gazeti hili halijakwenda mitamboni, jana lilimtafuta tena padri huyo ili kama ana la ziada la kusema alitoe lakini simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa na baadaye ikazimwa kabisa.
SMS YA KWANZA YADUNDA
Baada ya muda simu hiyo iliwashwa tena na ndipo  alipotumiwa ujumbe mfupi wa simu ya mkononi (SMS) iliyosomeka; ‘mimi ni mhariri wa Gazeti la Ijumaa, naomba upokee simu, nina jambo muhimu sana la kuongea na wewe’. Hata hivyo, SMS hiyo haikujibiwa.Padri Anatoly akijistili baada ya tukio hilo.
SMS YA PILI NAYO KIMYA!
Baada ya SMS hiyo, padri huyo aliendelea kupigiwa simu lakini bado iliita bila kupokelewa ndipo akatumiwa ujumbe mwingine uliosomeka hivi; ‘mkuu tumepata tukio lako ukiwa kichakani ndani ya gari usiku na mrembo akiwa mtupu. Wewe unalizungumziaje tukio hili? Kwa maana nyingine unajiteteaje? Tunaomba maelezo yako’.
Kama ilivyokuwa kwa ujumbe wa kwanza, nao huo haukujibiwa.
IJUMAA LATINGA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH
Ili kuendelea kumsaka padri huyo baada ya ukimya wa meseji, gazeti hili lilitinga kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwa lengo la kuomba msaada wa mawasiliano mengine kama yapo.
Hata hivyo, muumini mmoja aliyekutwa eneo hilo alisema mtu anayeweza kusaidia kupatikana kwa Padri Anatoly ni Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Tarcisiius Ngalalekumtwa.“Mimi sina namba yake, anayeweza kukusaidia ni (Tarcisiius) Ngalalekumtwa. Kwani ana nini huyo Padri Anatoly?”
Ijumaa: “Tukikutana na Ngalalekumtwa tutamwelezea. Lakini asante kwa ushirikiano wako.”
BOSI WAKE ASAKWA LAKINI…
Gazeti hili lilimtafuta bosi wa padri huyo Ngalalekumtwa ili kujua ana lipi la kusema juu ya tukio hilo lakini jitihada hizo ziligonga mwamba hivyo jitihada zinaendelea.
Mrembo akificha sura yake baada ya tukio hilo.
WALINZI WARUDIWA
Juzi mchana, Ijumaa liliwarudia walinzi hao wa Kimasai na kuwauliza kama wanamjua mtu aliyekuwa ndani ya gari hilo.
Mlinzi: “Sisi tulimuona kama mtu asiyefaa kwetu maana gari likija usiku tunakuwa na wasiwasi wa kuvamiwa. Kwa hiyo tunajiami kwa njia yoyote.”
Ijumaa: “Yule mrembo mnamjua kabla ya tukio la jana?”
Mlinzi: “Hapana. Hatujawahi kuonana na yeye.”
NGOMA BADO MBICHI
Ijumaa ndilo limeanzisha mwendo, magazeti mengine Pendwa ya Global Publishers yanafuatia. Endelea kusoma ili kujua kwa undani kuhusu tukio hilo. Mrembo ni nani na kwa nini walikuwa pale usiku huo?

No comments:

Post a Comment