Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye hivi karibuni alipata mtoto
aitwaye ‘Cookie’ amesema kama kuna mwanamke ambaye ana cheti cha ndoa na
Moses Iyobo ajitokeze la sivyo hawezi kumuacha.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunt alisema alipokuwa mjamzito
amekuwa akipewa vitisho vingi ikiwa ni pamoja na mwanamke kudai ameporwa
mumewe huyo.
“Kuna watu wanapenda sana kuongea, sasa mimi nasema kama kuna mtu
ambaye ana cheti cha ndoa aliyofunga na Iyobo aje tu kisha mimi
nitamuachia, la sivyo siwezi kumuacha,” alisema Aunt.
No comments:
Post a Comment