MBUNGE WA CHADEMA TUNDU LISSU ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho, Mh. Tundu Antipas Lissu akiwa katika ofisi za Global Publishers katika mahojiano maalum (Exclusive Interview cha Global TV Online) na waandishi wa habari GPL.
Mh. Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa habari wa Global Publishers, hawapo pichani.
Mh. Tundu Lissu akiendelea kufafanua jambo kwa waandishi wa habari.
...akijibu swali aliloulizwa kuhusu Mswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao....akipokea gazeti la Uwazi Mizengwe ya Uchaguzi kutoka kwa mhariri wa gazeti hilo Elvan Stanbuli, gazeti hili linakuwa mtaani kila Ijumaa.

No comments:

Post a Comment